Na Mwandishi wetu, ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Hussein Ali Mwinyi leo amemuapisha Kepteni Hussein Mohamed Seif kuwa Naibu Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo(KMKM) Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mnazi Mmoja tarehe:23 Mei 2024.