MANE AWATANGULIZA SENEGAL FAINALI
Na Mwandishi wetu,DAR ES SALAAM
Bao pekee la Sadio Mane aliloliweka wavuni mnamo dakika ya 78 limewapa ushindi wa 1-0 dhidi ya Egypt, na kuifanya Senegal kutinga Fainali ya AFCON.
Senegal atakutana kwenye Fainali na timu moja wapo kati ya wenyeji Morocco au Nigeria ambazo zinacheza usiku wa leo.
Senegal leo wametinga Fainali yao ya tatu katika AFCON 4 zilizopita.
FT’ Senegal 1-0 Egypt
⚽️ Mane 78'

