Shughuli imemalizika katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar, Mnyama amekata ukame wa kutokushinda mbele ya Wananchi, Young Africans baada ya kuibuka na ushindi wa 1-0 na kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano kwa mara ya saba.
FT: Yanga SC 0-1 Simba SC
⚽ 120 ' Mwalimu